mmmmh


oo

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

ni za leo bado za moto

Mapenzi ni kitu kisichotabirika, ndio maana kila mwenye KUPENDA au KUPENDWA hana uhakika na PENZI lake kwa yule AMPENDAE, Muda wote huhisi anasalitiwa. PENZI Ni kama JENGO lililokosa NGUZO muda wowote unahisi litadondoka... Usinielewe vibaya sikukatazi KUPENDA au KUPENDWA, ila tazama wapi UMEPENDA au UMEPENDWA.kilalakher kwa umpendae
...............................
"Japokuwa"
"Kuku" "Haogi" "Yai" "Lake" "Litabaki" "Kuwa" "Jeupe" "Tu" "Namaanisha"
"Kuwa"
"Hata" "Kama" "Ukiona"
"Nipo" ""KIMYA"" Muda"
"Mrefu" ""UPENDO"" "Wangu" "Kwako"
"""Bado"""
"Uko" Pale pale!!!!!
Usijali
"Tupo Pamoja" "Kwa" "Asilimia 100%".
.......................
  We Kipepeo,
,.-.-.-._.' //'_.-.-.-.,
  ''-.,-.:-)i(:'.-,.-''
     '-..-'()'-..-'
Ruka, nenda upesi usichelewe.Tua kwa heshima mbele ya huyu nimpendaye. Sema naye kwa  upole, chonde usimsumbue. Mwambie nipo salama ila namuwaza sana. Umwambie nampenda kamwe  sitamsahau. Kisha umuage kwa kumwambia nakutak(......)
...........................
Tone la mvua huonekana dogo sana, lakini kwa mwenye kiu hulisubiri kwa hamu kubwa. Sms ni kitu kidogo, lakini huonyesha mahali fulani yupo mtu ANAYEKUPENDA, ANAKUKUMBUKA, ANAKUOMBEA,
ANAKUJALI na,
ANAKUTAKIA  mafanikio mema
............................
Read More ->>

ladha za sms kwa wako kipenzi

"CHAI"  bila sukari hainyweki.
"ASALI" bila nyuki haitengenezeki.
"PETE" bila kidole haivaliki.
Na "MIMI" bila ya kukusalimia wala siridhiki!  mwidiwe mpase pokea maneno yafuatayo "I LOVE  YOU" pokea my lovely  kiss "MWAAAAAAA"  my best wishes 
 mtumie umpendae
kama na mm nimo nirudishie.
                
...................
Hii ni mbegu bora inaitwa UPENDO ipande kwa ndg zako,na pale utakapokuta imeota imwagilie maji ya FURAHA,iwekee kivuli cha  USHIRIKIANO, ipalilie kwa jembe la KUSAMEHE, iwekee mbolea ya AMANI, ipige dawa  ya NENO LA MUNGU, itakayoua wadudu wote  waharibifu kama ubinafsi, chuki, wivu, dharau, unafki, kiburi, choyo, tamaa na fitna kwenye mmea huu, MMEA HUU  (UPENDO) UENDELEE KUWA MCHE BORA KULIKO YOTE KTK MAISHA YAKO SIKU ZOTE.
................................
Read More ->>

sms kwa umpendaye

ewe kwangu ni kila kitu,
sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu!
 Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako,
 nakupenda sana dear!

*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani,
nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo,
 utakuwa wangu siku dear!
 Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya,
 naomba unisamehe na ninaahidi
 kutorudia tena katika penzi letu!

*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda,
macho nayaangaza,
taratibu navuta shuka na kujitanda,
 mishumaa pembezoni inaniangaza,
 mziki laini wanibembeleza kitu pekee nilichokikosa
 ni joto lako na vijimambo vyako kunako kitanda!
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda,
 macho nayaangaza, taratibu navuta shuka na kujitanda,
mishumaa pembezoni inaniangaza,
mziki laini wanibembeleza kitu pekee nilichokikosa
 ni joto lako na vijimambo vyako kunako kitanda!
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Niliumbwa kwa ajili yako, mbele yako
nitakushika mkono, nikuonyesha sayari yangu,
pendo langu la undani,
 na nitakUHESHIMU milele mpenzi wangu.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Katika nyuso za dunia, na kati ya miamba ya jangwani,
Kuna SAUTI! Neno la pendo lako liotapo karibu yangu.
Ni zaidi ya roho iendayo safarini.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Uzuri  wako hung'ara kuendana na matendo yako,
Ushupavu, upole, ujasiri na uchambuzi wa kweli,
kwa yote yajayo mbeleni mwako.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Umbo lako kama sayari, lizungukapo umbile la jua
ni kama upendo wa thamani usioweza kuuzika.
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda usiku na mchana
Nakuwaza siku zote za maisha yangu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Napenda ufahamu kuwa wewe ndiye nikupendae tu
Uzuri wako sio sababu ya mimi kukupenda
Ila nakupenda kwa matendo yako na jinsi ulivyoumbika.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Tambua kuwa nakujali
Furahia kwamba nitakuwa na wewe
Katika siku zote za maisha yangu
Nitakupenda bila kikomo milele
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nafsi yangu inafurahia ya kwamba
wewe ndio chaguo langu, ubavu wangu
tabasamu usoni mwangu ndio siri ya
pendo lako kwangu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nakuomba usiondoke, bali ubaki nami
Kwani wewe ndiye kamilisho la maisha
Yangu kwa sasa na siku za usoni
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Njoo pendo langu nikutembeze
katika milango ya furaha
Nikuwakilishe mbele ya majamaa zangu
Nikuonjeshe asali ya pendo langu
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpweke
Au kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendo
Sio pesa wala siluhisho la matakwa yako.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Rafiki wa kweli hudhaminiwa kama familia
 Pendo la kweli humaanisha, kupenda kweli
Kumlinda, kumjali, kuvumilia na kusameana
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Kumbuka kuwa wewe ni wangu
Kitulizo cha moyo wangu
Kwenye shida na raha
Wewe ni sehemu ya maisha yangu milele
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Ewe mwanga angaza mboni ya penzi letu
Ndilo sababu ya nguvu yangu
Tangulia pembeni mwa macho yake
Asubuhi hii hadi usiku ujao
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Uamkapo nitakupa langu tabasamu
Ukweli wa moyo utawale roho yako
Kwani macho yako ndo uzuri kwangu
Nakupenda sasa na milele kipenzi changu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nitaenda mbali Zaidi ya maono yako
Safarini nitajenga hekalu la pendo letu
Nitapuliza filimbi kama ishara ya utambulisho wako
Na mwanzo wa sherehe ya ndoa yetu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Natambua ugumu wa mapenzi
Mengi ni matamu, mengine ni machachu
Ila nakusihi usikate tamaa ya kunipenda  kimoyo
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Read More ->>

sms maridhawa

Katika nyuso za dunia, na kati ya miamba ya jangwani,
Kuna SAUTI! Neno la pendo lako liotapo karibu yangu.
Ni zaidi ya roho iendayo safarini.
...............
Uzuri  wako hung'ara kuendana na matendo yako,
Ushupavu, upole, ujasiri na uchambuzi wa kweli,
kwa yote yajayo mbeleni mwako.
Read More ->>

fikra hutawala mtima wangu

Fikra hutawala mtima wangu, Kwa madhila yalojaa duniani, Kwa muhali wa yanayojiri, Kwa machweo na mawio, Kwa totoro ama nuruni, Nao moyo hukosa ukamilifu, Kwa utashi wa zake hisia, Zinipazo sababu kuu, Ya upendo juu yako, Ya kukufanya daima uwe, Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni, Daima wewe hutawala, Kila asubuhi niamkapo, Nao usiku nilalapo, U chakula changu akilini, Nalo tulizo langu moyoni, Daima huuwaza upekee, Wewe uliojaaliwa, Na hivyo naihisi furaha, Daima wewe uwapo, Mawazoni mwangu.
Read More ->>

story fupi ya kimapenzi

Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda...!! Jee...!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani .........................
Read More ->>

photoco's






























Read More ->>

visitors comments